Tuesday, April 7, 2009

Obama akila Kiapo cha kuwa Raisi wa Marekani


Rais wa Marekani Barack Hussein Obama akila kiapo cha kuwa raia wa 44 wa taifa hilo, akishuhudiwa na mkewe Michelle Obama ambaye alimshikia mumewe Biblia, huku mabinti zake wawili, Malia Obama na Sasha Obama wakishuhudia, tukio hili lilifanyika katika eneo la West Front of the Capitol katika Ikulu ya Washington, DC mnamo Januari 20, mwaka huu 2009. (Picha na Chuck Kennedy-Pool wa IFP).